Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha mteule wa Rais kushindwa kuapa chatajwa

Alhamisi , 10th Dec , 2020

Mwanasaikolojia Moses Kyando amesema kuwa kitendo cha mteule wa Rais Magufuli, Francis Ndulane, kushindwa kuapa lisihusishwe na masuala ya kishirikina bali ni masuala ya kisaikolojia aina ya Specific Phobia na Social Phobia, yanayoweza kumpata mtu yeyote.

Francis Ndulane, Naibu Waziri wa Madini aliyeshindwa kuapa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Decemba 10, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, ambapo amesema kiongozi huyo siyo wa kushindwa kuapa kwa kuwa hata CV yake inaonesha kuwa ni msomi na alishawahi kuwa kiongozi wa bodi mbalimbali.

"Kilichompata Naibu Waziri mteule wengi wanasema ni uchawi ama hajui kusoma na kuandika lakini ukiangalia CV yake siyo mtu wa kushindwa kusoma, amefanya kazi nyingi za kijamii, kitaalam hayo ni masuala ya kisaikolojia ambayo ni Social Phobia na Specific Phobia, sasa unapokutana na Rais ambaye ana mambo mengi na baadhi ya watendaji wanapata naye shida inawezekana alikutana na phobia mbili kwa wakati mmoja", amesema Mwanasaikolojia

"Inawezekana hata watu wake wa karibu wakimuuliza na yeye anashangaa ni tatizo la kisaikolojia ambalo linaweza kumpata mtu wa aina yoyote, ni hofu kupanda juu ya jambo ambalo hukulitegemea, kwa jana kulikuwa na mkusanyiko wa watu wamevaa suti na Rais Magufuli alikuwepo, unaweza kukuta kilichompata jana ni phobia, yeye ni mtu wa kawaida na ni msomi na hana changamoto ", ameongeza.

Jana Decemba 9, 2020, Naibu Waziri mteule wa Madini Francis Ndulane, alishindwa kula kiapo mbele ya Rais Magufuli , na baada ya hapo Rais Magufuli, alitangaza kuwa nafasi hiyo atateuliwa mtu mwingine na itabidi mteule huyo elimu yake ichunguzwe.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea