Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF kuwasaidia wananchi kuondokana na maafa

Jumamosi , 24th Oct , 2020

Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba, amesema atakapopata ridhaa ya kuwaongoza Watanzania, serikali yake itashirikiana na Jumuiya ya Umoja wa Kimataifa ili kuweza kuwekeza katika mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.

Profesa Lipumba ameyasema hayo wakati akihutubia wananchi wa Kijiji cha Kipindimbi, Kata ya Njinjo, jimbo la Kilwa Kaskazini ambapo amesema serikali ya CUF kwa kushirikiana na wananchi itahakikisha wananchi wanaondokana na maafa ya mafuriko.

''Pana tatizo ambalo linaweza kuwa la muda mrefu tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ni tatizo ambalo tayari limeshatufikia, nchi zilizoendelea zimekuwa zikizalisha hii hewa ukaa ambayo imeongeza joto Duniani tunahitaji tuwe na serikali makini yenye huruma itakayoshirikiana na wananchi na Jumuiya ya Kimataifa ili kuweza kukabiliana na tatizo hilo la mabadiliko ya tabia nchi", amesema Profesa Lipumba.

Pamoja na hayo Profesa Lipumba amesema kuwa atakapoingia Ikulu ataanza kujenga barabara ya kutoka Nangurukuru - Liwale kwa kiwango cha lami ili kuwafungulia uchumi wakazi wa maeneo hayo na maeneo mengine.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi