Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF Lipumba, Seif bungeni hapatoshi

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Ndani ya bunge la Tanzania leo mgogoro umeibuka  dhidi ya Wabunge wa CUF, upande wa Mwenyekiti  Prof Ibrahim Lipumba  na  wale wa Katibu Mkuu, Maalim Seif baada ya Mbunge wa Mtwara Mjini Maftaha Nachuma kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wao ndani ya Bunge.

Lipumba kushoto, Seif kulia

Mvutano huo ulianza baada ya Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson kutangaza kuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai amepokea barua kutoka kwa Kaimu Katibu wa CUF, Magdalena Sakaya kuhusu safu hiyo mpya ya uongozi.

Aidha baada ya tangazo hilo Mbunge wa Malindi, Ally Salehe aliomba mwongozo wa Spika wa kutaka kujua nani anaamua kuhusu uongozi wa wabunge bungeni kwa sababu wao wameshafanya uchaguzi wao na kumchagua Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea kuwa Mwenyekiti wao baada ya wabunge wanane wa chama hicho kuvuliwa uanachama hivyo kupelekea kupoteza sifa ya ubunge.

Pamoja na Muongozo huo Salehe amehoji kuwa inawezekanaje kuwepo na viongozi wawili bila uongozi wakwanza kufutwa.

Akijibu muongozo huo Naibu spika, Dk Tulia amesema Spika amepokea taarifa ya viongozi hao lakini hajapokea taarifa ya uchaguzi wa upande wa akina Salehe ambao unamuunga mkono Katibu Mkuu Maalim Seif.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala