Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dar es salaam inazalisha tani 5300 za taka

Jumanne , 25th Aug , 2020

Jiji la Dar es salaam limetajwa kuzalisha taka zaidi ya tani 5300 ambazo zinazokusanywa ni takribani asilimia 40 hadi 50 hivyo wadau, mbalimbali vijana wamehimizwa kulitazama suala hilo Kama fursa inayoweza kuwaongezea kipato.

Sehemu ya takataka zinazozalishwa ndani ya jiji la Dar es Salaam

Rai hiyo imetolewa na afisa mazingira kutoka ofisi ya Makamu wa Rais mazingira DK Hussein Omary katika kikao Cha wadau wa Mazingira kilichopewa jina la Taka ni Ajira ambaye amesisitiza kuwa kwenye eneo Hilo kwa jiji la Dar es Salaam pekee Takataka za Plastic ambazo hazijalejelezwa zinakaribia zaidi ya dola za Marekani milioni 20.

Bado kuna fursa kubwa  katika masuala ya takataka sheria zipo kanuni ziko wazi kuliko kuwazuia vijana kukusanya taka ni bora kujengea Mfumo ili watambulike na waweze kujipatia kipato" alisema DK Hussein Omary Afisa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais.

Aidha kongamano hilo limelenga kueleza jinsi kijana anavyoweza kujiajili katika sekta ya mazingira kwa kuchagua kukusanya taka ngumu au za plastiki ambazo anaweza kuuza na kujiongezea kipato.

Licha ya serikali kuweka mikakati ya kutokomeza takataka imeombwa pia kurekebisha baadhi ya sera kanuni ili vijana wanazoweza kujiunga kukusanya taka mitaani watengewe eneo maalum la kuzikusanya wakitambuliwa na mifumo Rasmi katika Halimashauri mbalimbali Nchini.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala