Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC afunguka madai ya kufanya 'udhalilishaji'

Jumatatu , 3rd Dec , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi, amekanusha madai ya kudhalilisha baadhi ya watuhumiwa waliokuwa wakikamatwa kupitia operesheni maalum ambayo ilikuwa ikiendeshwa na ofisi yake pamoja na ofisi ya Mkuu wa Polisi mkoani Dodoma, Kamanda Gilles Muroto.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi.

Viongozi hao wawili walikuwa wakiendesha kampeni ya kuwakamata watu wanaojihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na matukio mengine ya kiuhalifu na baadaye kuyaonesha kwa umma hali inayodaiwa kuwahukumu watu hao kabla ya kufikishwa mahakamani.

Akijibu madai hayo Mkuu wa huyo Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi, amesema "kuhusu suala la uhalifu, hata mimi DC naweza kukamatwa kwa hiyo sio kwamba tunawadhalilisha bali ni kujaribu kuhakikisha wanapata haki zao au kumrejesha kwenye maadili ya kijamii."

"Ukimkuta mtu mtaani anafanya uhalifu, na ukikuta watu wanazungumza kwamba tunawadhalilisha kwa kweli hawana nia njema na jamii yetu, ndiyo maana sisi tunachofanya tunawaonesha ili waweze kurudi kwenye jamii kama watu safi," amesema Katambi.

"Kuhusu neno watapata tabu sana, tunamaanisha atakayevunja sheria lazima akamatwe na afikishwe mahakamani ili akakutane na hiyo tabu, na yeyote atakayeivunja hiyo lazima achukuliwe hatua za kisheria, wakidai tumeshahukumu sio sawa," ameongeza Katambi.

Patrobas Katambi aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA, kabla ya baadaye kutangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM kwa madai ya kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli na mwezi July 2018 alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini.

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera