Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC agawa Mahindi kwa wananchi ili wajisajili NIDA

Jumatatu , 20th Jan , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga Anamringi Macha, amesema kuwa aliamua kugawa Mahindi pamoja na Ndizi mbivu kwa wananchi wake, waliokuwa wamepanga foleni ya kupata namba za utambulisho wa Taifa kutoka NIDA kwa lengo la kuwafundisha uvumilivu na kutokata tamaa katika zoezi hilo.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha

Akizungumza leo Januari 20, 2020, na EATV & EA Radio Digital, DC Macha amesema kuwa lengo lake kuu lilikuwa ni kuwafanya wananchi watulie sehemu moja ili kufanikisha adhma yao ya kupata namba hizo kwa ajili ya kusajili laini zao za simu.

"Niliona nigawe hayo Mahindi na Ndizi kwa sababu, walikuwa na njaa na nilifanya hivyo ili watulie kusubiri huduma na mimi ilikuwa ni kama motivation kwao na kuwafanya wajisikie tuko pamoja na wajifunze kuvumilia, naamini jana kupata kile kidogo kuliwafanya wawe wavumilivu" amesema DC Macha.

Kwa mujibu wa DC Macha amesema ndani ya Wilaya yake, suala la wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha Taifa, umeonesha kufana kwa zaidi ya asilimia 80.

Zoezi la usajili wa laini za simu kwa kutumia alama ya Vidole, linahitimishwa leo Januari 20, na kwa wale ambao watakuwa hawajasajili laini zao zitafungwa na kwamba pia zoezi hilo ni endelevu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani