Pingu
Akikagua barabara hiyo Mkuu wa wilaya amebaini kuwa, mkandarasi huyo ni kanjanja na kwamba barabara ameijenga chini ya kiwango na yuko nje ya muda.
Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Wilaya ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoani humo, kumshikilia mkandarasi huyo ili akaeleze namna alivyoipata kazi hiyo kwa kuwa hana vigezo.