Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diwani akamatwa kwa rushwa Kyela 

Jumapili , 31st Mei , 2020

Taasisi  ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imethibisha kumkamata  Diwani wa Viti Maalum wilaya ya Kyela, Tumain Mwakatika kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa kinyume na sheria ya Takukuru namba 11 ya mwaka 2007.

Makao makuu ya kupambana na rushwa Takukuru Mbeya

Akithibisha hilo Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mbeya, Julieth Matechi amesema  Diwani huyo amekamatwa  na maofisa wa Taasisi hiyo katika Wilaya ya Kyela  Mei 30 mwaka huu wakati akigawa fedha kwa wajumbe wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania "UWT" ambao walikuwa wakishiriki Ibada ya maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, wilaya ya Rungwe Esther Mwakipesile.

Matechi amesema uchunguzi wa Takukuru wilaya ya Kyela ulibaini kuwa diwani huyo alikuwa akigawa fedha kwa wajumbe  ambao walihudhuria ibada ya maziko ya Mwakipesile.

Aidha amesema maofisa ambao walijipanga vyema kufuatilia vitendo hivyo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu na walimuweka chini ya ulinzi na kumshikilia kisha kumchukua kwa ajili ya mahojiano ambayo yalifanyika kwenye ofisi za Takukuru Kyela.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea