Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Mengi ataja dawa ya kutibu ulemavu

Jumapili , 17th Mar , 2019

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP na mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Watu wenye Uhitaji Maalumu (PWDF), Dkt. Reginald Mengi amesema dawa pekee ya kutibu ulemavu ni upendo.

Dkt. Reginald Mengi.

Mengi ameyasema hayo leo Machi 17, 2019 wakati akikabidhi vitabu vilivyoandikwa kwa nukta nundu kwa ajili ya wasioona wakati tukio la utoaji wa tuzo za 'I CAN', pamoja na hafla ya chakula cha mchana katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.

Lazima tuwe na upendo, watu wenye ulemavu wana changamoto nyingi mfano za umasikini ni lazima tuwasaidie kwa vitendo na tujitahidi kuzungumzia uwezo wao pia,” amesema Dkt. Mengi.

Aidha amemuomba aliyekuwa mgeni rasmi, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, vifaa visaidizi kama vile fimbo nyeupe, mafuta ya ngozi, viti mwendo, magongo yanayomlinda mtumiaji asiteleze kwa kuweka mipira maalum na vinginevyo kwa kuwa vimekuwa gharama.

Vitabu vilivyotolewa (I Can I Must I Will) ni toleo la kitabu alichokiandika mwenyewe na kukizindua miezi kadhaa iliyopita, maudhui yake yakiwa ni hamasa kwa jamii kuhusu masuala ya ujasiriamali na uthubutu.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria