Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakari Zuberi
Kupitia barua iliyotolewa na Katibu Mkuu wa BAKWATA, Nuhu Jabir Mruma imesema utaratibu wa kusherehekea sikukuu hiyo ya Eid itatangazwa hivi karibuni na Baraza hilo.
Imesema sikukuu hiyo ya Eid huenda ikaangukia siku ya Mei 24, au Mei 25 kutegemeana na muandamo wa mwezi huku ikiwatakia sherehe njema waislamu wote.