Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya Mbunge CCM aliyemgomea Spika Ndugai

Jumatatu , 20th Mei , 2019

Leo May 20, 2019 Mbunge wa Shinyanga Mjini Stephen Masele anatarajiwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge kufuatia kutuhumiwa kuendeleza vitendo vya utovu wa nidhamu na kuwachonganisha viongozi wa Serikali na Bunge.

Mbunge wa Shinyanga Mjini Stephen Masele.

Mbunge huyo amewasili nchini mwishoni mwa juma lililopita akitokea nchini Afrika Kusini alipokuwa akilitumikia Bunge la Afrika (PAP), ambapo alikuwa kwenye mgogoro na Rais wake, Roger Dang ambaye alituhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.

Akizungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa juma lililopita, Spika Ndugai alimtaka kiongozi huyo kufika kuhojiwa kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge Jumatatu majira ya saa 5 asubuhi.

Akizungumzia na wanahabari, Spika Ndugai alisema kuwa, "Stephen Masele hawezi kukaidi zaidi kwa sababu ni lazima arudi Tanzania, labda awe mkimbizi na akirudi lazima aje Kamati ya Maadili, tunachomuitia ni tabia yake ya uchonganishi wa viongozi, hatuwezi kusema ila mtaelewa fitina ikoje, ambayo ni kukosa sifa kwa kiongozi".

Lakini Stephen amebainisha ataweka kila kitu wazi mbele ya waandishi wa habari juu ya kilichotokea mpaka kumfikisha kwenye kikao cha nidhamu cha kamati ya maadili ya Bunge.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita