Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haya hapa matunda ya Royal Tour ya Rais Samia

Jumatano , 22nd Sep , 2021

Makala ya kutangaza vivutio vya utalii, biashara na uwekezaji iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, ambayo itaoneshwa kwenye kipindi maarufu cha Royal Tour, zimeanza kuzaa matunda baada ya wawekezaji kujitokeza kwa uwekezaji wa hoteli za kisasa ndani ya Hifadhi za Taifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasaan

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro, mara baada ya mkutano  wake maalum na wawekezaji kutoka nchi ya Bulgaria uliofanyika jijini Dar es Salaam, ambapo wameahidi kujenga hoteli zenye hadhi ya nyota tano kwenye hifadhi 4 za Taifa ambazo ni Kempinski Serengeti,  Kempinski Manyara, Kempinski Tarangile na Kempinski Ngorongoro.

''Juhudi kubwa za kimkakati za Royal Tour zilizoendeshwa na Rais wetu zimeweza kuzaa matunda ambapo leo tumepokea wawekezaji mahiri kutoka Bara la Ulaya ambao watawekeza kwenye hoteli kwa kujenga hoteli tatu za nyota tano za 'brand'  ya  Kempinski  kwa uwekezaji wa Dola za Kimarekani Milioni 72," amesema Dkt Ndumbaro

Waziri Dkt. Ndumbaro ameongeza kuwa,  ujenzi huo ni mkubwa na unakadiriwa kuanza rasmi mwezi Januari 2022 ambapo amemshukuru Rais Samia kwa kuwezesha kuwapigia 'pass' na wao kupitia Wizara ya Maliasili ni utekelezaji ikiwemo kupokea wawekezaji.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani