Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hospitali yatajwa kuzuia akina mama na watoto

Ijumaa , 5th Feb , 2021

Mbunge wa jimbo la Tabora Mjini kupitia CCM, Emmanuel Mwakasaka, amehoji msimamo wa serikali kwa hospitali zinatowatoza fedha akina mama waliojifungua kwa njia ya kawaida na wanaoshindwa kulipa basi huzuiliwa kutoka hospitalini hapo.

Mbunge wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka

Mwakasaka ametoa kauli hiyo hii leo Februari 5, 2021, Bungeni Dodoma, kwenye kikao cha Nne, mkutano wa Pili wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akiitaji hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete kuwa bado inaendelea kutoza fedha zinazoanzia kiasi cha shilingi 30,000 hadi shilingi 50,000 kwa akina mama hao.

"Hospitali ya Kitete Tabora bado inatoza fedha na ushahidi upo kwa akina mama waliojifungua kwa njia ya kawaida na wanaoshindwa kutoa hizo fedha huwa wanazuiliwa, je serikali ina msimamo gani kwa wale akina mama ambao huwa wanazuiliwa kutoka na watoto wao wachanga hadi walipe hizo fedha ambazo ni za kujifungulia?", amesema Mbunge Mwakasaka

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa msimamo wa serikali ni kwamba waganga wakuu wa mikoa na wilaya wahakikishe wanasimamia sera ya akina mama wanaoifungua kwa njia ya kawaida na wanajifungua bure na kuahidi kwamba ataongozana na mbunge hadi kwenye hospitali hiyo ili wakapige mahesabu na kuja na ufumbuzi

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita