Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huyu ndiye Waziri anayejikomba kwa Magufuli

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Akiwa tayari ameshatumikia Wizara mbili katika miaka mitatu ya uongozi wa Rais Magufuli, Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa yupo tayari kuitwa Waziri anayejikomba kwa Rais Magufuli.

Rais Magufuli (kulia) alipokuwa akiipokea ndege ya Airbus A220 - 300 Dodoma.

Kigwangalla ambaye ni mbunge wa Nzega Vijijini amelazimika kuweka wazi hilo wakati alipokuwa akisifia utendaji kazi wa Rais Magufuli hususani kwenye suala la kununua ndege.

''Unaweza ukasema Kigwangalla Waziri anajikomba, sawa tu! Povu ruksa!'', ni sehemu ya ujumbe wake alioundika kwenye mtandao wa Twitter.

Katika Baraza la Mawaziri la kwanza kwenye awamu ya tano chini ya Rais Magufuli, Kigwangalla aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kabla ya kupelekwa kuwa Waziri kamili wa Maliasili na Utalii Oktoba 7, 2017.

Ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyopewa jina la Ngorongoro imeondoka nchini Canada jana na inatarajiwa kufika nchini kesho Januari 11, 2018 baada ya kutanguliwa na ile ya kwanza iliyopewa jina la Dodoma ambayo ilitua nchini Desemba 23, 2018.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu