Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Idadi ya wanaopata huduma ya Umeme yaongezeka.

Jumatatu , 1st Dec , 2014

Idadi ya watu wanaopata huduma za umeme hapa nchini imeongezeka kutoka asilimia 10 mwaka 2005 hadi asilimia 36 hivi leo huku watumiaji wa nishati hiyo waishio vijijini wamefikia asilimia mbili.

Mkuu wa Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud kushoto akisisitiza Jambo katika mkutano na Waandishi wa Habari.

Hayo yameelezwa hivi karibuni na Mkuu wa Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Nishati na Madini Badra Masoud, wakati anazungumza na Wanachama wa Vilabu vya Habari kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara, waliokutana Kilwa Masoko ambako ameelezea mafanikio ya sekta hiyo pamoja na mipango ya Serikali ya kusambaza umeme vijijini chini ya mpango wa Usambaaji wa umeme vijijini ujulikanao kama REA.

Amesema,kufikia asilimia 36 hivi leo ni mafanikio kwa kuwa lengo la Serikali lilikuwa ifikapo mwaka 2015 upatikanaji wa umeme ufikie asilimia 30,na kuongeza kuwa hata uzalishaji wake umeongezeka,ndio maana hivi sasa jitihada kubwa ni kufikisha umeme kwa watumiaji wa vijijini.

Kwa mujibu wa Msemaji huyo wa Wizara ya Nishati na Madini,katika kuharakisha usambazaji wa umeme kwenye Mikoa ya Lindi na Mtwara,wateja wamepata punguzo la kuunganishiwa kwa bei ya Sh.99,000/- badala ya Sh.Laki moja kama ilivyo sehemu zingine hapa nchini

HABARI ZAIDI

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni