Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jela miaka 3, adai alifanya kosa sababu ya njaa

Jumapili , 6th Oct , 2019

Mahakama ya Wilaya ya Lindi, mkoani Mtwara, imemuhukumu mkazi wa Mitema aliyefahamika kwa jina la Kijazi Ally (29), kifungo cha miezi 36 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa mawili, likiwemo la kuvunja nyumba usiku na kuiba.

Kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mshtakiwa aliulizwa kama anazo sababu za msingi, zitakazoishawishi Mahakama isimpe adhabu kali kwa makosa aliyokutwa nayo, ambapo katika kujitetea kwake alikiri kosa hilo na kudai kuwa ilikuwa ni mara yake ya kwanza na alilitenda kwa sababu ya njaa na kuahidi kutorudia tena.

Baada ya utetezi huo, Hakimu Kiswaga alimuuliza Mwanasheria wa Serikali Godfrey Mramba, kama ana kumbukumbu ya makosa ya zamani kwa mshtakiwa,ambapo alijibu kuwa hana lakini aliomba apewe adhabu kali, kwani ni mwizi mzoefu anayesumbua wakazi wa Mji wa Lindi.

Mramba alisema licha ya kutokuwa na kumbukumbu kwa makosa ya zamani kwa mshtakiwa,lakini tayari anakabiliwa na kesi nyingine inayohusu vitendo vya uvunjaji wa nyumba za watu nyakati za usiku na ipo katika Mahakama hiyo.

Kufuatia kesi  hiyo namba 14/2019, Hakimu Kiswaga alimhukumu mshtakiwa huyo kifungo cha miezi 36.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala