Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jokate ajipa mitihani 6 ya elimu Kisarawe

Jumatano , 19th Sep , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amebainsha changamoto 6 ambazo anahitaji kupambana nazo ili kuinua kiwango cha ufaulu wa elimu katika wilaya ya kisarawe kuanzia elimu ya Msingi mpaka kidato cha sita.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo.

Katika mkutano wake na waandishi wa habari wilayani kisarawe Mkoani Pwani Dc Jokate amesema wilaya hiyo inahitaji shilingi bilioni 4.1 ili kumaliza changamoto za elimu wilayani kisarawe.

Changamoto hizo ni?

MADAWATI 1166

Changamoto ya mdawati katika wilayani kisarawe ni miongoni mwa matatizo ambayo mkuu huyo wa wilaya ameahidi kuifanyia kazi ambapo wilaya hiyo inauhitaji wamadawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi na gharama yake  ni milioni67.

MATUNDU YA VYOO 113

Jokate pia amebaisha wilaya hiyo inahitaji zaidi ya shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 kwa shule za wilaya hiyo.

OFISI ZA WALIMU

Wilaya hiyo pia inauhitaji wa ofisi za walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880.

MAKTABA 13

Jokate alisema wilaya hiyo pia inauhitaji wa maktaba za kujisomea na wanafunzi wajifunze zaidi.

“..Katika kutokomeza zero wilayani Kisarawe, mwaka huu tumejipa mtihani wa kuwashirikisha wadau ili kutatua changamoto za miundombinu itakayowezesha kuinua ufaulu wa elimu kisarawe.”

Changamoto zingine ni VYUMBA VYA KULALA WANAFUNZI (HOSTELI), MAABARA ZA KISAYANSI,

Pia katika hatua nyingine, Mh. Jokate  amesema msaada wa usafiri (Lifti) unaotolewa na Madereva wa bodaboda kwa wanafunzi wakike katika shule zilizopo wilayani Kisarawe zimetajwa kuwa ni miongoni mwa changamoto zinazowafanya wanafunzi wa kike kukumbwa na vishawishi viovu.

Kwa mujibu Mkuu Wilaya ya Kisarwe msaada wa usafiri "lifti" zinazo tolewa na madereva bodaboda kwa wanafunzi wamegundua kuwa madereva wanatumia nafasi hiyo kuwalaghai wanafunzi wakike huku akiwataka bodaboda kuwa mabalozi wakuwalinda wanafunzi wakike ili kumaliza masomo yao.

Mkuu wa wilaya Jokate amesema "...tumekua na kesi nyingi sana kwa bodaboda, wakiwapandisha watoto wakike lift na wao humohumo wanaingiza ajenda zao, tumegundua na wao wanachangia kupotosha watoto wakike kusoma,."

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera