Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jokate amtaka Mkurugenzi apungzue gharama

Jumapili , 5th Jul , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amemtaka Mkurugenzi kuweka mazingira mazuri ikiwemo kupunguza bei ya maeneo ili kutoa fursa kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza ndani ya wilaya hiyo waweze kumudu gharama.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Jokate ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la Wafanyabiashara wilayani humo, baada ya Afisa Biashara wa Halmashauri ya Kisarawe Joachim Costa kuwasilisha ripoti ya biashara ikionyesha zaidi ya biashara 180 zenye thamani ya shilingi milioni 9 na laki 3 zimefungwa wilayani Kisarawe katika kipindi cha kuanzia mwaka 2019 hadi 2020.

''Tutajitoa kushirkiana na wafanyabishara na wawekezaji wetu, mtu akija hapa hahitaji kukuta vizingiti vingi vya yeye kufanya uwekezaji, hivyo Mkurugenzi angalia maeneo mengine ambayo mtu atatumia gharama za chini kabisa kwasababu lengo letu ni kuvutia wawekezaji'', amesema Jokate.

Aidha Afisa Biashara alibainisha kuwa sababu za biashara hizo kufungwa ni wateja kushindwa kumudu gharama kwenye bidhaa zinazozalishwa Kisarawe pamoja na kuvunjwa kwa miundombinu kwaajili ya kupisha upanuzi wa barabara hali inayopelekea kuathiri biashara nyingi wilayani humo.
 

Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera