Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jokate kutimiza ndoto ya Rais Magufuli

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Ikiwa ni siku mbili tu tangu Rais Magufuli afanye mabadiliko kwenye Wizara ya Madini, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo ameuhakikishia umma wa Watanzania kuwa atapambana kwa juhudi na maarifa kuhakikisha Wanakisarawe wananufaika na Madini.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo.

Mh Jokate amesema kuwa Kisarawe haiwezi kuendelea kuwa masikini na kuwa na upungufu wa huduma muhimu za Afya na Elimu wakati kuna madini katika aridhi ya kisarawe ambayo watu wa Kisarawe wamepewa zawadi na Mungu.

''Uanzishwaji wa vituo maalumu vya biashara ya madini kama ilivyoelekezwa na kuagizwa na Rais  Dr John Pombe Magufuli ni njia bora ya kuhakikisha madini yanainufaisha jamii kwa kuondoa umasikini na kuwa na jamii yenye kupata huduma bora katika nyanja zote za maisha'', amesema Jokate.

Aidha amesisitiza kuwa anaamini jambo hilo litasaidia kutimiza muono mpana na ndoto kubwa ya Rais Dr John Pombe Magufuli ya kuifanya Tanzania kuwa Taifa lenye uchumi wa kati na kuwa taifa lenye kutegemewa na mataifa mengine.

Jokate ametaja madini ambayo wilaya ya Kisarawe imejaaliwa kuwa nayo ni Madini ya udongo jasi, madini aina ya chokaa, malighafi za ujenzi kama vifusi/mchanga, mawe, na  kokoto.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya