Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM amzungumzia Balozi aliyekula hela za serikali

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Rais Dkt. John Magufuli, amemuomba Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde, kukirudisha kiwanja ambacho kilitengwa kwa ajili ya Tanzania kujenga Ubalozi wake chini humo na kunyang'anywa kwa kushindwa kukiendeleza, baada ya pesa zilizotumwa kuliwa na aliyekuwa Balozi wa wakati huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 25, 2021, mara baada ya kumaliza kufanya mazungumzo ya faragha na Rais huyo yaliyohusu ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, na kuahidi kwamba kama nchi ya Ethiopia itakirudisha kiwanja hicho basi serikali itahakikisha inakiendeleza.

"Nimemueleza pia ombi letu dogo kwenye uwanja wetu kule Ethiopia ambao tulichelewa kuujenga kwa sababu ni ukweli, zile hela tulizozipeleka kule kujenga zililiwa na Balozi wetu huko, siyo huyu anayekaimu Ubalozi, ni aliyekuwepo na tukamrudisha nyumbani kwahiyo tukawa tumechelewa kuenga", amesema Rais Magufuli.

"Tukashindwa kuzingatia masharti ya sheria za kule kwamba, kiwana ukipewa na usikiendeleze unanyang'anywa, tumemuomba Mh. Rais aturudishie na tumeahidi tutakiendeleza kwa kukijenga  na pale Dodoma tumewapa hekari tano na wao waziendeleze kwa kujenga ubalozi wao", ameongeza Rais Magufuli. 
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria