Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli asema neema inakuja kwa wafanyakazi

Jumanne , 20th Oct , 2020

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 20 Oktoba akiwa Korogwe (Tanga) amewambia mamia kwa maelfu ya waliojitokeza kumsikiliza kuwa kwa miaka mitano ijayo wafanyakazi wataboreshewa maslahi yao na kuongeza kuwa malimbikizo yao

Pichani ni Dkt John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM.

 yote yanaendelea kushughulikiwa.

Huku akishangiliwa na hadhira hiyo, amezitaja sababu za kutoboresha maslahi ya wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita kuwa ilikuwa ni kuboresha kwanza uchumi wa nchi, kuondoa wafanyakazi hewa, kuimarisha mifumo ya ukusanyaji kodi ili kuongeza mapato ya nchi.

"Kwasababu uchumi umeimarika, mapato yamekuwa mazuri na miundombinu mingine yote tumemaliza afya, mabarabara na maji  tunaendelea kutengeneza, elimu bure tunaendelea kutoa sasa katika kipindi cha miaka mitano itakuwa kazi pia ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania, unaanza uchumi kwanza ndipo utapandisha mishahara, huwezi kupandisha mishahara wakati huna hela ya  kupandisha mishahara" Dkt. John Magufuli

Aidha Magufuli amebainisha kuhusiana suala la serikali kuajairi ''Tumeajiri wafanyakazi zaidi ya 74 elfu katika kipindi cha miaka mitano, walimu zaidi ya 17 elfu, sekta ya afya zaidi ya 14 elfu na wafanyakazi pia katika sekta nyingine''.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria