Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kaimu Jaji Mkuu ataja atakaloanza nalo

Jumatano , 18th Jan , 2017

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma ameahidi kumaliza kero ya ucheleweshwaji wa kesi kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika usajili na uendeshwaji wa kesi hizo.

Rais Magufuli akimuapisha Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Ikulu Dar es Salaam

Prof. Juma ametoa kauli hiyo mara baada ya kuapishwa na Rais Magufuli kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania katika  hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufaa na Mahakama ya Kuu na Viongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria.

Jaji Prof. Ibrahim Juma amesema atakachoanza nacho ni kupitia sera mpya ya TEHAMA ili kuangalia jinsi ambavyo anaweza kuitumia katika kuiendesha mahakama kisasa zaidi zaidi.

Rais Magufuli katika picha ya pamoja na majaji wa mahakama ya rufaa

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma amechukua nafasi ya Mhe.Jaji Mohamed Chande Othman ambaye amestaafu.

Kabla ya kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma alikuwa Jajiwa Mahakama ya Rufaa.

Rais Magufuli na baadhi ya watendaji wa mahakama

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa