Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Halima Mdee na wenzake yakwama Mahakamani

Ijumaa , 30th Sep , 2022

Kesi iliyofunguliwa na Halima mdee na wenzake 18, ya kupinga kuvuliwa uanachama wao na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA imeshindwa kuendelea leo kutokana na Mawakili wa washtakiwa namba mbili na namba 3 kutokifika mahakamani.

Wabunge waliovuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA

Hayo yameelezwa na Wakili wa upande wa waleta maombi Edson Kilatu, mara baada ya kiahirishwa kwa kesi hiyo, huku akibinisha kuwa mawakili hao wametoa taarifa kwa mahakama kuwa wameshindwa kufika mahakamani kutokana mkutano wa mawakili wa serikali walioufanya siku ya jana jijini Dodoma.

Kesi hiyo namba 36 ya mwaka 2022 inayosikilizwa mbele ya jaji Syprian Mheka imefunguliwa dhidi ya mshtakiwa namba moja ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, mshtakiwa wa pili ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na mshtakiwa namba tatu ambaye ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi. 

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 7, 2022 ambapo wabunge wawili Grace Victor Tendega na Hawa Mwaifunga wataanza kuhojiwa na jopo la mawakili wa CHADEMA wakiongozwa na Wakili Peter Kibatala kuhusu mchakato wa wao kuwa wabunge wa viti maalum.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria