Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigwangalla avuka vikwazo, amjumuisha Alikiba

Jumamosi , 25th Mei , 2019

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla, amewashukuru wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/19.

''Bajeti yetu imepita salama. Kwa kishindo. Pande zote mbili zimekubaliana. Tumepewa sifa kede kede! Imani kubwa tuliyoipata kutoka kwa wenzetu ni deni la kuongeza bidii zaidi ya kazi'', amesema. 

Aidha wakati akitaja bajeti yake, Kigwangalla aliwataja baadhi ya watu ambao wizara yake inafanya nao kazi kama mabalozi wa utalii wa Tanzania, akiwataja nahodha wa taifa Stars Mbwana Samatta na msanii Alikiba.

Kigwangalla amesisitiza kuwa watu hao pamoja na wengine kama Flaviana Matata wamekuwa wazalendo kwa kuitangaza Tanzania kila wanapofanya kazi zao nje ya mipaka ya Tanzania.

Hata hivyo waziri huyo amelihakikishia bunge kuwa wizara yake itaendelea kulinda maliasili zote za nchi hii na kuhakikisha hazisafirishwi kwenda nje hata kama ni Chawa au Kunguni watalindwa.

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera