Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijiji chakosa shule kwa zaidi ya miaka 20

Jumanne , 1st Dec , 2020

Baada ya kukaa miaka 20 bila kuwa na shule ya msingi, wananchi wa Kijiji cha Lelgu wilayani Kiteto mkoani Manyara hatimaye wamefanikiwa kujenga madarasa saba na kufanikiwa kukamilisha manne na kuiomba serikali kuwasaidia katika kupaua madarasa yaliyobaki.

Miongoni mwa majengo ya shule yaliyojengwa na wananchi wa Kijiji cha Lelgu.

Mbali na hilo wananchi hao pia wameiomba serikali kuipatia shule hiyo usajili ili kuondoa adha ambayo walikuwa wakiipata watoto wao, kutembea umbali mrefu na wakati mwingine kukosa masomo

Wakizungumza na EATV wananchi hao akiwemo Kipongo Sabulei na Ester Lemati, wamesema kuwa jitihada kubwa zimefanywa na wananchi katika kujitolea kwa hali na mali ili kufanikisha kijiji chao kuwa na shule jambo ambalo kwa sasa wamekamilisha madarasa hayo.

Kwa upande wake mbunge wa jimbo la Kiteto, Edward Ole Lekaita, amepongeza jitihada hizo za wananchi na kusema hatokuwa nyuma katika kuwasaidia wananchi ambao wamekuwa wakielekeza nguvu kubwa katika kuibua miradi wao wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera