Bw. Daniel Mwasandube (kulia), Mwenyekiti wa Kamati ya Uchangishaji Fedha
Mhe. Angella Kairuki, Waziri wa Utumishi na Utawala Bora
Boniface Mkwasa - Kocha wa Taifa Stars
Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Richard Kayombo
Rais Magufuli akimjulia hali Mke wake mama Janeth Magufuli aliyelazwa ktk Hospitali ya Muhimbili wodi ya Sewa Haji akipatiwa Matibabu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Joseph Muungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016
Ibrahim kutoka Vodacom (Kushoto) akiwa Dullah katika Planet Bongo iliyoruka LIVE kutoka Mabibo Hostel, akitangaza majina ya wasanii walioingia katika Tuzo za EATV
