Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubenea ataja sababu za kutokugombea Ubunge

Jumatano , 15th Jul , 2020

Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA aliyemaliza muda wake Saed Kubenea, amesema kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea yeye kutokuchukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya chama hicho ni pamoja na migawanyiko iliyopo ndani ya chama sanjari na yeye kusakamwa.

Saed Kubenea

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 15, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital na kueleza kuwa licha ya kwamba hakuchukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia CHADEMA, lakini hiyo haimzuii yeye, kugombea jimbo hilo kupitia chama kingine kwa kuwa michakato ndani ya vyama vingine haijafungwa.

"Ni kweli sikuchukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Ubunge kupitia CHADEMA na kwamba mimi si miongoni mwa wagombea wa CHADEMA watakaopigiwa kura leo kwenye mkutano mkuu wa kura za maoni kwa ajili ya kumpata mgombea wa Ubungo, lakini hiyo hainizuii mimi kugombea kupitia chama kingine, na sababu ni nyingi ikiwemo migawanyiko ndani ya chama na kusakamwa" amesema Kubenea.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani