Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuna ukiukwaji haki za binadamu Zanzibar-Sakaya

Ijumaa , 18th Mar , 2016

Chama cha Wananchi CUF kimesema kinachoendelea visiwani Zanzibar ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu hivyo kimeziomba mamlaka husika kuwaacha wananchi wa visiwa hivyo wafanye maamuzi wanayoyataka.

Naibu katibu Mkuu wa CUF, Bi. Magdalena Sakaya

Hayo yamezungumza jana na Naibu katibu Mkuu wa CUF, Bi. Magdalena Sakaya wakati akizungumzia hali ya kisiasa na uchaguzi wa marudio unavyoendelea visiwani Zanzibar.

Bi. Magdalena amesema kuwa kuna matukio ya kihalifu yanayoendelea visiwani humo wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa marudio mambo ambayo inawezekana ni mipango ya vikundi fulani ambavyo vinalenga kuharibu taswira ya visiwa hivyo.

Aidha Naibu katibu Mkuu amezitaka mamlaka husika kuzipa uzito lawama ambazo zinaelezwa kwa vyombo vya habari juu ya matukio yanayoenelea visiwani humo ili kumpa haki ya kuishi kwa amani na utulivu kila mwananchi wa visiwa hivyo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala