Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Leo sitaki kuongea habari ya Corona" - Waziri

Jumatano , 25th Mar , 2020

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, leo amekataa kuzungumzia wala kujibu maswali yaliyokuwa yakihoji kuhusu ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona na kwamba leo ilikuwa ni nafasi ya kuzungumzia masuala ya rasilimali watu katika sekta ya afya.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu

Waziri Ummy amekataa hii leo Machi 25, 2020, Jijini Dodoma, wakati akitoa taarifa ya nafasi 1,000 za ajira kwa madaktari zilizotolewa na Serikali, lengo likiwa ni kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za afya kwa wananchi.

"Leo sitaki kuongea habari ya Corona, mjiandae kesho tunaweza kukutana hapa saa 2:30 asubuhi, kwa sababu tusiharibu kikao hiki muhimu cha kuzungumzia rasilimali watu katika sekta ya afya ili kuweza kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za afya, bado wananchi wanaenda kwenye vituo vya afya wana Malaria, TB, HIV, Kisukari, Moyo na Saratani, Corona tutaongea kesho" amesema Waziri Ummy. 

Mpaka sasa idadi ya wagonjwa waliothibitika kuathirika na ugonjwa hatari wa mapafu na mafua makali, unaosababishwa na Virusi vya Corona hapa nchini ni 12.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani