Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LHRC walalamika kukamatwa waangalizi wao uchaguzi

Ijumaa , 30th Oct , 2015

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimelilalamikia jeshi la polisi kwa kuwakamata wafanyakazi wake zaidi ya 40 kwa sababu zisizofahamika na kulitaka jeshi polisi kutoa taarifa ya sababu za kukamatwa kwao.

Mwanasheria kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC ndugu HAROLD SUNGUSIA akizungumza na wanahabari

Akizungumza na waandishi mwanasheria wa kituo hicho Bw. Harlod Sungusia amesema jeshi la polisi lilivamia kituo chao cha kukusanya taarifa za uchaguzi ka kukusanya komputa na kisha kuondoka na wafanyakazi hao bila kupewa maeleoz yoyote.

Sungusia amesema kituo cha kina kibali kutoka tume ya taifa ya uchaguzi NEC inayowaruhusu kufuatilia mwenendo wa uchaguzi kwa kuchukua matoke ambayo ni rasmi kutoka tume hiyo na baadae kutoa taarifa juu ya mwenendo wa Uchaguzi ulivyokwenda.

Bw. Sungusia ambaye alikuwa akiongea wakati zoezi hilo la upekuzi likiendelea ameshangaa kwa hatua hiyo ya polisi kwani wao wana kibali kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya kufanya shughuli za uangalizi na kuandika ripoti.

Sungusia amesema wamejipanga kwenda kudai haki yao kisheria ikiwa ni pamoja na kuwasimamia vijana hao ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya kutosha juu ya kukamatwa vijana hao ambao anadaia kuwa walikuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi