Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba awagonganisha Mbowe,Lowassa na Maalim Seif

Alhamisi , 14th Mar , 2019

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Profesa Ibrahim Lipumba amesema wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2015, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe alimkataa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa kujiunga na UKAWA

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Profesa Ibrahim Lipumba.

kwa kile alichokidai kuwa alikua haaminiki.

Profesa Lipumba ametoa kauli hiyo Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho ambao ulimpigia kura yeye kukiongoza chama hicho kwa miaka mingine mitano.

Lipumba amesema, "Maalim Seif alimuita Mbowe wakutane Zanzibar baada ya kupata taarifa Lowassa hatapitishwa CCM kwa ajili ya kugombea, akamwabia unaonaje tukamkaribisha UKAWA lakini Mbowe wakati ule Mbowe alikataa kumkaribisha kwasababu alidai hawaaminiki", amesema Lipumba.

"Jambo la singi tunapoelekea kwenye uchaguzi ujao tunahitaji ushirikiano wa dhati sio ushirikiano wa kinafki wa kukidhoofisha vyama vingine" ameongeza Lipumba

Kwa sasa chama hicho kimekuwa na mpasuko wa kiuongozi baada ya kuwepo kwa pande mbili za uongozi ikiwemp upande unaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba na Upande unaomuunga mkono Maalim Seif Sharif Hamad

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera