Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Lissu alijitakia mwenyewe, acheni kiburi' -Ndugai

Jumatatu , 9th Sep , 2019

Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Job Ndugai amewaonya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuacha tabia ya kuwa na kiburi, ujeuri, kujiamlia mambo bila sababu za msingi ili wasiingie matatizoni bila sababu za msingi.

Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Job Ndugai na Mbunge wa zamani wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Mh. Job Ndugai amesema hayo Bungeni leo, wakati akitoa maelezo kwa Bunge hilo baada ya mahakama kuu nchini kutupilia mbali kesi ambayo ilifunguliwa na Mbunge wa zamani wa Singida Mashariki kupinga uteuzi wa Mh. Miraji Mtaturu.

Amesema, ''wabunge wanatakiwa kuheshimu sheria na kanuni za Bunge ambazo zimewekwa kwakuwa ndio mwongozo wa shughuli zote za bunge pamoja na uhalali wa wao kuwa bungeni''.

Mh. Ndugai pia amesema anashangaa kuona wabunge hawatoi taarifa wakiwa na changamoto za kiafya na kifamilia, wakati wakijua kikanuni ni kosa kisheria hivyo, maamuzi ambayo yamekuwa yakifanyika hayamwonei mtu.

Hata hivyo, mapema hii leo mahakama Kuu, imetupilia mbali kesi ambayo ilifunguliwa na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Mshariki Ndg. Tundu Lissu la kuomba mahakama hiyo kutengua ubunge wa Mh. Miraj Mtaturu. 
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala