Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu amvimbia Spika kuhusu kurudi nchini

Jumatatu , 21st Jan , 2019

Baada ya Spika Job Ndugai hivi karibuni kumtaka Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Aniphas Lissu kurejea nchini kwakuwa hana kibali cha kuzuruua huko Ulaya, mbunge huyo amemjibu Spika akidai amejuaje kama amepona ilhali hajawahi kumjulia hali kwa simu.

Mbunge wa Singida Mashariki

Lissu ambaye alipelekwa nchini Ubelgiji kwa ajili ya matibabu zaidi baada ya matibabu yale aliyoyapta nchini Kenya baada ya kushambvuliwa kwa risasi zaidi ya 30 amesema kwamba Spika Ndugai hajui chochote kwasababu hajataka kujua tofauti na watu wengine ambao wanamtafuta na kumjulia hali.

Akifanya mahojiano na gazeti la kila siku la Tanzania, Lissu amesema kwamba, "Spika Ndugai hajui chochote, hajui nimepona au sijapona. Hajui kwa sababu hajataka kujua, hajataka kunipigia simu kuniuliza kama ambavyo wengine wananipigia simu. Hajataka kuwasiliana na familia yangu, hajui kwa sababu ametaka kubaki asiyejua"

“Spika anajuaje kwamba nimepona?. Anajua masharti niliyopewa na daktari ni yapi?. Anajua nimetokaje hospitalini?”, amehoji Tundu Lissu.

Juma lililoisha, Spika wa Bunge, Job Ndugai alimtaka Mbunge huyo wa Singida Mashariki (CHADEMA), kurejea nyumbani kwa kuwa hana kibali cha kuwa nje ya nchi huku akiongeza kwamba hawezi kumpangia Lissu mambo ya kusema ila ajue hana kibali cha kuendelea kuwa nje ya nchi wakati ofisi ya Spika haina taarifa.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini