
Mh. Lowassa ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii wakati akitoa salamu za Mwaka Mpya 2018.
Mh. Lowassa ameandika "Tunapouanza mwaka huu mpya niwaombe watanzania wenzangu tukatae kugawanywa kwa sababu yoyote ile. Umoja na mshikamano ndio nguzo yetu. Nawatakia Heri na Fanaka ya mwaka mpya 2018".