Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lowassa kusaidia wanawake katika sekta ya Afya

Ijumaa , 28th Aug , 2015

Mgombea urais wa chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema Mhe.Edward Lowasa amesema atahakikisha anaimarisha upatikanaji wa huduma muhimu kwa wanawake ikiwa ni pamoja na huduma za uzazi.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa

Akizungumza katika mkutano wa Baraza la wanawake la CHADEMA, iliyakutanisha makundi mbalimbali ya wanawake nchini wenye mahitaji mbalimbali Mhe.Lowasa amesema nia ni kumjengea uwezo mwanamke wa kujikwamua kiuchumi.

Mhe.Lowasa amesema wanawake wana kero nyingi zinazowakabili ikiwa ni pamoja na huduma duni za afya ya uzazi,umbali wa kupata maji safi na salama ,kuwa na vipato duni licha ya kushiriki katika ujasiria mali hivyo anaomba apewe ridhaa ya kuwaongoza ili awasadie kuondokana na kero hizo.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa BAWACHA Bi. Grace Tendega amesema wanawake bado wanakabiliwa na changamoto nyingi hususani katika sekta ya afya ambapo vifo vya wakati wa kujifungua na vya watoto chini ya miaka mitano vimeongezeka.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini