Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu atarudi tena gerezani – Mkuu wa Magereza

Jumatatu , 14th Mei , 2018

Mkuu wa Magereza ya Mkoa wa Dar es salaam, ACP Augustino Mboje amesema muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anaweza kurudi gerezani endapo ataonesha mwenendo usioridhisha wakati ambao atakua chini uangalizi

ACP Mboje amesema hayo leo Mei 14, 2018 alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kuelezea sababu za msanii huyo kutoka kabla ya muda kifungo kuisha ambapo amedai kuwa Lulu amenufaika na msamaha wa Rais Magufuli aliotangaza katika sherehe za sikukuu ya Muungano Aprili 26, 2018 mjini Dodoma

“Kama atakiuka masharti ya kuchelewa, kuonesha tabia mbaya, mara siku moja moja haji, akawa haoneshi mwenendo mzuri, community worker atawasiliana na sisi (Lulu) atarudi gerezani kwa kupitia mahakamni kwasababu aliletwa na mahakama” amesema ACP Mboje

Awali ACP Mbonje aliongeza kuwa msanii huyo asingeweza kutoka 26 April 2018 hata baada ya kupewa msamaha na Rais Magufuli kwasababu alikua hajatumikia robo ya kifungo chake ambacho kilikua kinaisha Novenba 12, 2018 baada ya msamaha huo.

Sambamba na hilo ACP Mbonje amedai kwasasa msanii Lulu bado ni mfungwa ila atatumikia kifungo chake nje ya gereza mpaka novemba 12, 2018 kwa kufanya huduma za kijamii.

Kwa mujibu wa sheria ya Mahakama kifungu na. 3 (2) (a) ya huduma ya jamii ya mwaka 2002 inatoa nafasi kwa mfungwa ambae kifungo chake hakijazidi miaka mitatu kutumikia kifungo chake nje ya gereza kwa kufanya kazi zisizo na malipo kwa manufaa ya jamii.

Novemba 13, 2017 Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam ilimtia hatiani msanii Elizabeth Michael (Lulu) na kumhukumu kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake Steven Kanumba April 7, 2012 nyumbani kwa marehemu Sinza Jijini Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria