Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maamuzi ya mahakama kesi ya Akwilina

Alhamisi , 6th Dec , 2018

Kesi inayowakabili viongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe imesogezwa mbele tena hadi Disemba 21 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa tena.

Jopo la viongozi CHADEMA, wakiwa kwenye kizimba vya mahakama.

Kesi hiyo ya msingi ambayo ilipangwa kusikilizwa leo na Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri lakini ilishindikana kutokana na kuwepo kwa kesi kwenye mahakama ya rufaa juu ya kupewa au kutopewa dhamana kwa Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa Tarime Mjini Esther Matiko.

Akizungumza mara baada ya kutoka kwenye shauri hilo Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vicent Mashinji amesema "tutarudi tena tarehe 21, kwa ajili kuja kutajwa tena kesi yetu halafu itategemea kama itakuwa imeshatoka kwenye mahakama rufaa nchini."

Waliokuwa mahakamani hapo walishuhudia kuimarishwa kwa hali ya ulinzi na usalama ili kuhakikisha hakutokei vurugu na hali ya sintofahamu wakati kesi hiyo ikiwa inaendelea.

Viongozi wengine wako nje kwa dhamana lakini Mbowe na Esther Matiko wamerudisha mahabusu baada ya kufutiwa dhamana na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kujiridhisha viongozi hao walishindwa kutimiza masharti ya dhamana.

Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA wanashtakiwa kusababisha kifo cha aliyekuwa Mwanafunzi Chuo cha Taifa cha Usafirishaji nchini NIT Akwilina Akwilini.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria