Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandalizi ya kuagwa Mzee Mkapa uwanja wa Uhuru

Jumamosi , 25th Jul , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakari Kunenge amesema taratibu za maandilizi ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa yanaendelea kwenye uwanja wa Uhuru pamoja na kuimarishwa kwa hali ya Ulinzi na Usalama.

Maandalizi kwenye uwanja wa Uhuru ambapo atazikwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Uhuru Temeke Jijini Dar Es Salaam amesema 

"Tunashukuru sana kwa mapenzi yenu makubwa kwa viongozi wetu, naamini tutafika kwa wingi na wasioweza kupata nafasi uwanjani tunaomba mkae barabarani tutawapatia ratiba ni njia ipi ambayo mwili utapita hadi kufika hapa ili wote mmpate fursa ya kumuaga huko mlipo" Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakari Kunenge 

"Tunafanya taratibu kujua ni njia gani ambayo atapita pamoja na taratibu zingine ambazo zinafanywa katika ngazi ya Taifa kulingana na itifaki na niwahakikishie wananchi wa Mkoa wa Dar Es Salaam hali ya usalama ni nzuri na tumejipanga vizuri kwa hiyo tusiwe na wasiwasi tujitokeze kwa wingi na kuaga ni kuanzia asubuhi hadi jioni" ameongeza 

Zaidi tazama kwenye video hapo chini.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala