Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madiwani watimua wezi wa milioni 118

Jumatatu , 13th Mei , 2019

Balaza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini mkoani Ruvuma, limewakuta watendaji wake watatu na hatia ya upotevu wa fedha za manispaa kiasi cha shilingi milioni mia moja na kumi na nane.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini, Abdul Hassan Mshaweji

Akisoma maamuzi yaliyofikiwa na balaza hilo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini, Abdul Hassan Mshaweji, amesema watuhumiwa walikua wanne na mmoja hajakutwa na hatia.

Pia mwenyekiti huyo wa halmashauri ametaja hatua zilizochukuliwa na Baraza la Madiwani la hamshauri hiyo kwa watendaji watatu waliokutwa na hatia ya upotevu wa fedha, huku kamati ya uchunguzi ikimwachia huru mtuhumiwa mmoja kutokana na kutokutwa na hatia.

"Watendaji wetu watatu wamekutwa na hatia, Juliana Lotti amekutwa na hatia 8 na Baraza la Madiwani kwa masikitiko makubwa limefanya maamuzi magumu na maamuzi ya baraza ni kwamba tumeamua afukuzwe kazi moja kwa moja, wa pili anayefuatia ni Salum Mwandu ambaye baraza limeamua kuzuia mshahara wake nusu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Hali kadhalika mtunza hazina Denis Mwatete, baraza limeamua kuzuia mshahara kwa muda wa mwaka mmoja".

"Mchakato unaendelea na kwa mujibu wa sheria, mamlaka ya mwisho sasa ni kwa Baraza la Madiwani la manispaa. Wahusika katika suala hilo walikuwa wanne, ambapo mmoja ameachiwa huru na kamati iliyofanya uchunguzi, huyu ni mkaguzi wetu wa ndani".

Bonyeza hapa kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria