Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mafuriko yaathiri wakazi 800 Iringa

Jumanne , 24th Mar , 2020

Wakati Serikali ikipambana kutokomeza ugongwa wa virusi vya Corona nchini, hali ya wananchi wa kitongoji cha Mbingama katika kijiji cha Isele Halmshauri ya Wilaya ya Iringa iko hatarini zaidi baada ya kaya 218 kukosa makazi ya kuishi  kutokana na mafuriko.

Mafuriko

Zaidi ya  kaya 218 zenye wakazi zaidi ya 800 katika kijiji cha Isele hawana makazi baada ya  kitongoji chao kufunikwa na maji huku nyumba zao zikisombwa na maji.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Isele, pamoja na Diwani wa kata ya Mlenge, Msafiri wameiomba serikali kuwanusuru wananchi na adha hiyo inayowakumba hivi sasa.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amezungumzia juu ya madhara hayo na kuagiza Afisa Ardhi wa Wilaya kufika eneo hili kupima usawa wa ardhi pamoja na kugawanywa kwa maeneo ya ofisi za kijiji.

"Naagiza Afisa Ardhi kuja hapa kupima usawa kwa usawa wa kila kijiji, kugawanya eneo la ofisi za kijiji na ofisi za kujenga Kituo cha Afya na kuanzia leo ni marufuku mtu kujenga hovyuo hapa, pawe pakavu au pabichi", amesema Kasesela.

Kutokana na  changamoto hiyo wito umetolewa kwa wasamalia kujitolea vifaa mbalimbali ili kuwasitili wananchi hao kutokana na changamoto inayowakabili.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria