Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli aahidi kuendeleza mchikichi Kigoma

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Mgombea Urais wa tiketi ya Chama cha Mapinduzi,(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli, amesema kuwa kazi ya kufufua zao la mchikichi ni kazi iliyotekelezwa chini yake na si kama wasemavyo wengine.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiingia katika viwanja vya Lake Tanganyika nakulakiwa na Maelfu ya Wananchi waliyojitokeza kumsikiliza leo.

Amesema hayo leo Septemba 18 akiwa kwenye kampeni zake mkoa wa Kigoma ambapo amesema alimpa, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kazi ya kufuatilia suala zima la ufufuaji wa zao la mchikichi.

"Nilimtuma Majaliwa natukaanza kufufua mashamaba ya JKT ili soko hili la mchikichi watu watajirike lakini nasikia kuna watu wanazungumza ndio wamefufua wao zao la mchikichi hapa jamani kwa hiyo nikituma mtu akishafanya vizuri mwingine anajitokeza pale" alisema Dkt Magufuli.

Aidha aliendelea kufafanua kuwa ufufuaji wa zao hilo la mchikichi ilikuwa kwenye moja ya mpango wa awamu ya uongozi wake kutokana na zao hilo kudharaulika.

"Tulivyoingia awamu ya 5 tuliamua kufufua zao la mchikichi hapa Kigoma kwasababu hili ndilo zao la biasahara hapa lakini likadharaulika na kusahaulika kwa siku nyingi “ alisema Dkt.Magufuli

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita