Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli aitaja siri yake ya moyoni juu ya Dodoma

Jumatatu , 28th Sep , 2020

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amewambia wapiga kura wake kuwa anasiri kubwa na nzito ndani ya moyo wake juu ya jiji la Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine ameutaja uamuzi wake wa kuhamia Dodoma kuwa ni kutokana na upendo mkubwa alionao kwa watani zake Wagogo.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli.

Mapema leo Septemba, 28, akiwahutubia wakazi wa Chipogolo (Dodoma) mgombea huyo wa CCM alisema kuwa anatamani kuona jiji la Dodoma linazidi kustawi maradufu zaidi ya jiji lolote nchini, huku akitaja miundo mbinu mbalimbali ambayo inajengwa katika jiji hilo kama kichocheo cha kulikuza jiji hilo dhidi ya majiji mengine.

"Tunataka Dodoma tuibadilishe hiyo ndiyo siri iliyomo moyoni mwangu, nataka Dodoma ndilo liwe jiji kubwa kuliko majiji yote katika nchi ya Tanzania, tumejipanga vizuri mno na ndiyo maana hata ring road ya kilometa 110 yenye njia nne tunaanza kuzijenga huku" amesema Dkt John Magufuli.

Aidha Magufuli amelitaja jiji la Dodoma kama mkoa ambao ulipigwa vita sana kwa kile alichokitaja kuwa baadhi ya watu waliona kuwa mkoa huo haukustahili maendeleo ambayo yamekuwa yakipelekwa katika jiji hilo, jambo ambalo anasema kwa upande wake hakubaliani nalo.

"Dodoma ilipigwa vita mno kwamba hapafai kuwa makao makuu, Dodoma palipigwa vita mno kwamba hawafai haya maendeleo mnayotakiwa kuyapata, nimeamua kwamba mimi naenda kukaa Dodoma, shukrani pekee ya kunifurahisha nijisikie raha kwamba nimefika kwa watani zangu ninao wapenda na wao kumbe wananipenda ni kunipa kura za kutosha", amesema Dkt Magufuli.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria