Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama hazijapokwa mamlaka -Wakili Malata

Alhamisi , 6th Aug , 2020

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata akisisitiza jambo wakati akizungumza na wa habari leo.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua pia haki ya jamii kulindwa dhidi ya madhara yanayoweza kutokana na baadhi ya vitendo vinavyohusisha makosa ya jinai kama vile mauaji, utakajishaji fedha, ugaidi na usafirishaji na uuzaji wa dawa za kulevya.

Akizungumza na vyombo vya habari Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa kesi iliyofunguliwa na Bwana Dickson Sanga dhidi ya serikali ilishindwa kihalali kwani lazima jamii pia ilindwe ili kulinda Afya, Ustawi wa Jamii na kukuza uchumi.

Jana Agosti 5, 2020 Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilitoa uamuzi wa Rufaa Na. 175/2020 iliyokatwa na serikali dhidi ya Dickson Paul Sanga kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu mwenendo wa mashauri ya jinai kinachozuia dhamana kwa baadhi ya makosa makubwa ya jinai.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala