Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maisha Supermarket wathibitisha kifo cha Mahad Nur

Jumamosi , 13th Jul , 2019

Baada ya taarifa kueleza kuwa katika shambulio la kigaidi linalodhaniwa kuua watu 26 huko Kismayu Somalia, na miongoni mwa hao kuna mfanyabiashara Mahad Nur Gurguurte ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Supermarket, uongozi umethibitisha.

Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Supermarket Mahad Nur Gurguurte.

Akiongea na EATV&EA Radio Digital, Meneja wa Maisha Supermarket Emodia Lloyd, amesema ni kweli Mahad Nur amefariki kwenye shambulio hilo.

''Alikuwepo kwenye hoteli ya Asasey ambayo imeshambuliwa, baada ya taarifa tulimtafuta hakuwa anapatikana kwenye simu, tukawasiliana na mtu mmoja huko akaenda kuangalia chumbani kwake hakumkuta ikabidi aende hospitali ndipo akakuta mwili wake'', ameeleza Emodia.

Emodia amesema kuwa kuna mtanzania mwingine ambaye aliambatana na Mahad Nur, kwenye safari hiyo ya kibiashara,  yeye amejuruhiwa na yupo hospitali lakini bado hawajapata taarifa za maendeleo ya hali yake kwasasa.

Mahad Nur alikwenda Somalia siku 7 zilizopita na kufikia kwenye hoteli ya Asasey iliyopo mjini Kismayo ambayo ndiyo imeshambuliwa usiku wa kuamkia leo Julai 13, 2019.

Kuhusu taratibu za mazishi Emodia amefafanua kuwa msiba upo nyumbani kwa baba yake Kigamboni, lakini taratibu zinazoendelea huenda Mahad akazikwa leo huko Kismayo, kutokana na taarifa kueleza kuwa mwili umeharibika hivyo ni ngumu kuusafirisha.
 

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya