Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makampuni ya gesi na mafuta yalipie kodi Mtwara.

Jumatatu , 1st Dec , 2014

Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya juu vilivyopo Mkoa wa Mtwara,wameiomba serikali kuwa na sera kanuni na taratibu maalumu kwa makampuni na mashirika yanayojishughulisha na utafiti na uchimbaji wa gesi asilia katika mikoa ya Lindi na Mtwara

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Vijijini Bw. Wilman Ndile

Wanafunzi hao wametoa ombi hilo mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Abdulrahman Kinana, ambapo wamesema kuwa ofisi hizo kuwa jijini Dar es Salaam na sehemu nyingine nchini hakutoi fursa kamili kwa mashirika na makampuni hayo kukuza kikamilifu uchumi wa mikoa hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Vvijijini Bw. Wilman Ndile amesema kuwa, kwa sasa sehemu kubwa ya ulipaji kodi mbalimbali za makampuni hayo yamekuwa yakilipiwa Jijini Dar es Salaam, na kusema hali hiyo imekuwa ikikosa mabilioni ya shilingi zitokanazo na ulipaji kodi.

Akiwa katika mji wa Mtwara, Kinana, alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kushiriki ujenzi, sanjali na ukaguzi wa majengo ya chama hicho yaliyochomwa moto kwenye vurugu za gesi katika mkoa huo, na kutembelea mtaro wa kutililisha maji ya mvua katika mji wa Mtwara kwenda baharini...

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa