Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makamu wa Rais asikitikia rufaa ya kina Mbowe

Jumatatu , 18th Feb , 2019

Makamu wa Rais wa Chama Cha Wanasheria ambaye pia ni Wakili, Dk. Rugemeleza Nshala amesema kwamba jambo lililotokea leo katika mahakama ya Rufaa kwenye usikilizwaji wa rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko ni kukomoa na kuumiza.

Mwenyekiti Freeman Mbowe na pamoja Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Dk. Nshala amesema kwamba kesi nzima iliyopelekwa na warufani haina mashiko na kwamba wao upande wa serikali una haki ambayo wengine hawana.

"Hatuwezi kujenga na watu wanakomoa wenzao(sadist country). Hakuna mwanadamu hata mmoja miongoni mwa tulioko hapa anaeweza kumuongezea mwenzake mda wa kuishi hapa duniani, kwahiyo kushiriki kupoteza hata saa mmoja ya uhuru mwenzako huwezi kuilipa,kwa bahati mbaya hawa wametumia sheria vibaya kupoteza uhuru wa warufaniwa",amesema Dk. Nshala, Leo alipokuwa kwenye mahakama ya Rufaa.

"DPP alikata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, kukubali kuendelea na usikilizwaji wa rufaa ya wabunge hao ya kupinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana".

Wakili Mkuu wa Serikali, Faraja Nchimbi amedai leo Jumatatu Februari 18, 2019 mbele ya jopo la majaji watatu Stella Mgasha, Gerald Ndika, Mwanaisha Kwaliko wa Mahakama ya Rufani kuwa wanapinga uamuzi uliotolewa na Jaji Rumanyika katika rufaa namba 344 ya 2018 uliotolewa Novemba 30, 2018.

Hata hivyo, Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala amedai sababu za rufaa hiyo hazina mashiko hivyo aliomba Mahakama ya Rufani kuitupilia mbali rufaa hiyo.

Mbowe na Matiko wamerejeshwa Segerea mpaka Februari 19 Asubuhi

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi