Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo mengine ukisikia ni kama ndoto vile-Ndugai

Jumanne , 10th Mei , 2016

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai amesema kuwa kuna mambo mengine ukiyasikia ni kama ndoto vile, kauli aliyoitoa baada ya kusikia kuwa Jimbo la Segerea Jijini Dar es Salaam, kuwa halina Zahanati.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai

Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu Spika wa Bunge hilo Mhe. Job Ndugai amesema mambo mengine ukisikia ni kama ndoto au hadithi za kufikirika, baada ya kusikia, Kata ya Vingunguti na Kipawa Jijini Dar es Salaam hazina Zahanati.

Hayo yamebanishwa na Wabunge wa Jimbo la Segerea, Mhe Bona Kalua pamoja na Mbunge wa Viti Maalumu kupitia (CHADEMA), Anatropia Theonest katika maswali yao kwa Wizara ya TAMISEMI, ya kutaka kujua kwanini maeneo hayo yenye mkusanyiko wa watu hayana Zahanati.

Mhe. Bona Kalua alizitaja Kata ambazo hazina Zahanati katika jimbo lake ni pamoja na Kata ya Vingunguti ambayo inawakazi wengi na haina Zahanati lakini pia , Kata ya Kipawa, Minazi Mirefu, Kiwalani, Kisukulu na Kimanga zote hazina Zahanati wala Vituo vya Afya.

Katika majibu yake Naibu Waziri wa TAMISEMI ,Suleiman Jaffo, alikiri kuwepo changamoto hiyo katika jimbo hilo na kusema kuwa serikali inalifanyika kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta eneo kubwa ambalo litafaa kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati pamoja na Vituo vya afya ili kuondoa tatizo hilo.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu