Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manyara: Mwenyekiti wa CCM mbaroni kwa rushwa

Alhamisi , 25th Jun , 2020

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Manyara inawashikilia Mwenyekiti wa CCM tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wa tawi hilo kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa.

Chama cha Mapinduzi CCM

Mwenyekiti wa tawi hilo, Bakari Khatibu na Katibu wake, Juma Swalehe wanatuhumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa ya Shilingi laki mbili (200,000), kinyume cha kifungu cha 15 cha sheria ya TAKUKURU Na. 11 ya mwaka 2007.

Wawili hao waliomba na kupokea rushwa hiyo kutoka kwa Muinjilisti wa Kanisa la Kilutheri la Komoto kwa maelezo kuwa baada ya kupokea fedha hizo wangemuachia kiwanja walichokuwa wakidai kuwa ni mali ya CCM.

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Manyara, Holle Makungu amesema kuwa hawatasita kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa aina hiyo ambayo wana uhaba wa maarifa na wanaodhani kuwa hawawezi kuguswa kwakuwa ni waajiri wa chama tawala.

"Watu wote ni sawa mbele ya sheria na wanayo haki bila ubaguzi wowote, wana haki ya kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria bila kuzingatia utaifa, kabila, wanapotokea, maoni yao ya kisiasa, dini, jinsia au hali yao ya maisha", amesema.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea