
Asasi ya TASACI kwa Ushirikiano na Mwamvuli wa Hedhi Salama Tanzania(TZMHHC) Waungana na EATV katika tukio la HSM na kueleke kilele cha Hedhi Salama Duniani - Kitaifa.
Ushirikiano huu unaonesha nguvu ya pamoja katika kuhamasisha elimu, usawa na upatikanaji wa vifaa salama vya hedhi kwa wasichana na wanawake nchini.