Waziri Afya Ummy Malimu akiwa na DC wa Dodoma Mjini Patrobasi Katambia lkatika Kijiji cha Msamalia ambacho wanaishu watu wenye Ukoma
Ameyasena hayo leo mkoani Dodoma katika Kijiji cha Msamalia ambapo ipo kambi ya wagonjwa wa Ukoma na kusema asilimia 50 ya wagonjwa wa ukoma hupatwa na ugonjwa wa Sonona kutokana na kunyanyapaliwa na jamii.
Kwa upande wake Bibi Beatrice ambaye anaishi kwenye kambi hiyo ya waathirika wa ugonjwa wa Ukoma ameishukuru Serikali kwakuwakumbuka kwa kuwapelekea vyakula.
Kesho ni siku ya Ukoma duniani na kauli mbiu inasema kuwa 'Tuthamini haki utu wa waathirika wa Ukoma, kwa kutokomeza ubaguzi unyanyapaa na chuki'